World Swahili Language Day

Key information

Date
Time
2:00 pm to 3:30 pm
Venue
Online via Zoom

About this event

To mark World Kiswahili Language day 2025, we are bringing together an international panel of poets, writers and researchers to celebrate Swahili and all its varieties. 

The theme this year will be ‘Swahili: past, present and future’ and the event will include poetry readings, extracts from new literary translations and flash talks on various aspects of Swahili language. Everyone is invited to join us for this exciting event which will take place online via Zoom. This celebration is organised by SOAS Centre for African Studies and the Swahili Dialects Project (University of Essex, University of Dar es Salaam, Kenyatta University and SOAS University of London). 

Ili kuadhimisha siku ya Lugha ya Kiswahili Duniani 2025 tunawaletea jopo la kimataifa la washairi, waandishi na watafiti kuadhimisha Kiswahili. Kaulimbiu ya mwaka huu itakuwa ‘Kiswahili: wakati uliopita, uliopo na ujao’ na tukio litajumuisha usomaji wa mashairi, dondoo kutoka katika tafsiri mpya za fasihi na mazungumzo juu ya vipengele mbalimbali vya lugha ya Kiswahili.

Nyote mmealikwa kujiunga nasi katika tukio hili la kusisimua litakalofanyika mtandaoni kupitia Zoom. Maadhimisho haya yameandaliwa na Kituo cha SOAS cha Masomo ya Kiafrika na Mradi wa Lahaja za Kiswahili (Chuo Kikuu cha Essex, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Chuo Kikuu cha Kenyatta na Chuo Kikuu cha SOAS cha London).

Image credit: Ali Mkumbwa via Unsplash

Agenda

Muda /Time (Uingereza/UK) Mada/Title Wahusika/Speakers 
2pm - 2:10pm 

Kukaribishwa 

Welcome and introduction 

Ida Hadjivayanis and Teresa Poeta 

  

2:10pm 

Kusomwa shairi kwa Kiunguja/Kipemba 

Poetry reading in Kiunguja/Kipemba 

Mohammed Ghassani 

  

Kusomwa shairi kwa Kiswahili sanifu 

Poetry reading in Kiswahili 

Esther Karin Mngodo 

  

Kusomwa tafisri kutoka Kiswahili 

Reading from English Translation of Rosa mistika 

Jay Boss Rubin 

  

Kusomwa tafsiri kuenda Kiswahili 

Reading from translation of Dhulma 

Ida Hadjivayanis 

  

Kusomwa fasihi ya Kiswahili ya Siri 

Reading from Siri 

Farouk Topan 
2.35pm - 2.45pm 

Maswali na Majibu 

Q&A 

Hadhira na jopo 

Audience and panel 

2:45pm - 2:50pm Kupumzika / Break 
2:50pm 

Mwamko wa lahaja za kiswahili 

Emerging dialect areas of Swahili 

Hannah Gibson, Daudi Gamba, Annah Kariuki, Merceline Ochieng, Fridah Kanana Erastus, Tom Jelpke, Lutz Marten, Felic Ngowo, Teresa Poeta and Julius Taji 
Kubadilika kwa Mtazamo wa Kiswahili cha Kongo / Changing Perspective on Congolese Swahili Maud Devos 

Tofauti za kijiografia na kijamii katika Kiswahili cha Magharibi 

Regiolectal and sociolectal variation in Western Swahili 

Nico Nassenstein and Antonia Fendt 

Kiswahili kiwe daraja, si kubana tofauti za Tanzania 

Swahili to bridge, not flatten diversity in Tanzania 

Gastor Mapunda 

Usanii kupitia Kisheng 

Sheng spoken word 

David Otieno 
3.30pm - 3.40pm 

Maswali na Majibu 

Q&A 

Hadhira na jopo 

Audience and panel 

3:40pm - 3.45pm 

Mazungumzo baada ya hafla 

Final discussion and remarks 

Ida Hadjivayanis and Hannah Gibson